资讯

DAR ES SALAAM: WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kujitafakari na kuzingatia taarifa wanazotoa kwa ummana kuongoza ajenda ...
RAIS Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei ...
DAR ES SALAAM:CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka watu hususani vyama vya kuachana na kasumba ya kusema kwamba ...
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kihistoria la Rotary District 9214 ...
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura kwa awamu ya pili utafanyika ...
DODOMA; KAMPUNI 1,820 zimesajiliwa na kati ya Julai 2024 hadi Machi 2025 serikali imekusanya Sh bilioni 192.78 ...
MWANZA; POLISI mkoani Mwanza imemkamata mkazi wa Kijiji cha Kanyara wilayani Sengerema, Marwa Waryoba kwa tuhuma ya ...
MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), kinaendelea kufanya ukarabati mkubwa wa miundombinu na ujenzi wa ...
Moja ya mafanikio ya ushirika ni kuzinduliwa kwa Benki ya Ushirika Tanzania mapema wiki hii mkoani Dodoma ambako yatakuwa ...
DODOMA: Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa ...
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeonya wananchi kuwa wakichagua viongozi watoa rushwa hawatawajibika ...
BUNGE la Hungary limepiga kura kuunga mkono kujiondoa kwa nchi hiyo kutoka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ...